Tag: #Kupambana
-
Huu Ndiyo Ushauri Ikiwa Unataka Kufikia Lengo Lolote,
Marafiki wawili John na Jeremy walikwenda kuomba kazi katika kampuni Fulani, Kwa habari nzuri wote wakapata kazi na kuianza, Walifurahia kazi hiyo na kuona malengo yao yatatimia ndani ya muda mfupi, Hali walizokuwa nazo kabla hazitajirudia Tena, Baada ya kufanya kazi kwa takribani miezi mitatu Jeremy alipandishwa cheo ya bosi ya kampuni hiyo, John Ali…
-
Siri Hii…
Je unapitia changamoto ya kuanza Mambo na Kisha kuacha baada ya muda Fulani? Au, Unaanza na unakata tamaa unapo karibia hitimisho? Leo Siri moja kubwa kutoka kwa waliofanikiwa, Yaani Mabilionea zaidi ya Mia tatu Dunia nzima, Nayo Ni *Uthubutu* Kila unayemuona akiwa juu Leo alikuwa chini, Kila unayemuona Ana furaha Leo alikuwa na huzuni, Kila…