
Je unapitia changamoto ya kuanza Mambo na Kisha kuacha baada ya muda Fulani?
Au,
Unaanza na unakata tamaa unapo karibia hitimisho?
Leo Siri moja kubwa kutoka kwa waliofanikiwa,
Yaani Mabilionea zaidi ya Mia tatu Dunia nzima,
Nayo Ni *Uthubutu*
Kila unayemuona akiwa juu Leo alikuwa chini,
Kila unayemuona Ana furaha Leo alikuwa na huzuni,
Kila unayemuona Ana pesa leo alikuwa na nyakati za kutokuwa na pesa,
Kwa kila Hali ambayo unamuona mtu Fulani kuwa juu leo,
Naye alikuwa na nyakati zake za hali mbaya na kuumiza Sana,
Ila waliamua *Kuthubutu* kwa kwa kila Hali,
Kupambana hata Kama walipitia hisia za kukatisha tamaa,
Japokuwa walichekwa,
Walidharauliwa,
Walikejeliwa,n.k
Bado waliamua *kuthubutu*
Yaani kupambana mpaka Lengo litimie,
Haya naongea na wewe Sasa,
Amua *Kuthubutu*
Pambana mpaka Lengo lako litimie,
Natumaini umepata kitu hapa,
Mpaka Wakati mwingine,
@Ishi Njozi Media.
Leave a comment